Waziri wa elimu Joyce Ndalichako amesema kuwa uhakiki wa wanafunzi bado
unaendelea na kwa wale wanafunzi ambao hawajahakiki majina ya wapo
kwenye hatari ya kufutiwa mikopo.
Amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa wanafunzi wengi ni hewa kwa kuwa kuna
chuo kina wanafunzi 130 wanatakiwa kuhakiki lakini mpaka sasa ni nane
tu ndio wamehakiki licha ya kutahadharishwa kufutiwa mikopo yao.
Amesema kwa wanafunzi wanaoenda field fedha zao za kujikimu zimesitishwa
kwa kuwa jana walifanya uchambuzi kwenye vyuo viwili na kukuta
wanafunzi marehemu na waliofukuzwa wameombewa fedha za field
Tuesday, July 19, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment