Sunday, September 18, 2016

11:23 PM
Wapenda Kunyapia nyapia Udaku wa Mastaa wa Bongo wameachwa njia panda baada ya mastaa Nuh Mziwanda na Shilole kuanza tena kuwa karibu kwa kupostiana kwenye page zao za mitandaoni, Wawili hao ambao siku za njuma walikuwa wapenzi wa kupika na kupakuwa waliachana na kila mmoja kuchukua hamsini zake lakini msimu huu wa Tamasha la Fiesta inasemekana wamekuwa karibu kutoka na kuwa ni wamoja wapo katika watumbuizaji wa Tamasha hilo huku wakisafiri mikoa mbali mbali kitu ambacho kimewaweka karibu zaidi

Nuh Amepost Picha hii katika ukurasa wake wa Instagram:

Baada ya Muda Shilole naye Akajibu Mapigo kwa kuweka picha ambayo inaonyesha alimpiga Nuhu Mziwanda wakiwa katika Chumba cha Hotel.....
Wajuzi wa Kunyapia nyapia Udaku Wanadai Picha hiyo aliyopost shilole na kuiifuta inaujumbe mzito ndani yake , Kuwa inawezekana wawili hao huko walipo kwenye Tamasha wanalala chumba kimoja....

0 comments:

Post a Comment