Muigizaji wa filamu Bongo, Jada amepoteza kumbukumbu baada ya kupata ajali ya kujigonga ukutani akiwa location.
Taarifa hiyo imetolewa na muongozaji wa filamu aliyokuwa anashoot, Leah
Richard Mwendamseka maarufu kama Lamata kupitia kipindi cha Magic Style
cha CG FM ya Tabora.
Leah amesema Jada anaendelea na matibabu ya kumsaidia kurudisha
kumbukumbu zake zote. Amedai kuwa tatizo hilo lilitokea baada ya wiki
tatu akiwa ameshamaliza kushoot filamu hiyo na kwamba mashabiki
wamuombee
Wednesday, August 10, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment