Saturday, August 27, 2016

Kocha wa Manchester United Jose Mourinho alipo kuwa akiongea na waandishi amesema kuwa hafiriki na ni vigumu sana Bastian kupata nafasi ya kucheza msimu huu, sijasema haiwezekani , nimesema ni vigumu sana.

Kama tatizo lolote litatokea au nafasi , nina vijana katika Academy, nitafurahi kuwapa nafasi ya wao kuendelea.

0 comments:

Post a Comment