Monday, August 8, 2016

Unaambiwa pamoja kuwa na umri wa miaka 35 na watoto wanne ila Diamond anamuona mpenzi wake Zari Hasan kama bado mtoto wa miaka 10 vile...

Jana Diamond aliwaambia mashabiki wake kupitia mtandao wa Instagram kwa kuandika maneno haya:

“Mungu nae anaumbaga bwana….Kama kana Miaka Kumi,” 
Zari Hassan

Je unakubaliana na Diamond?

0 comments:

Post a Comment