Diamond Platnumz ana miaka mingi ya kuvuna mapesa kutokana na show zake.
Kutoka kwenye mapokezi yaliyovunja rekodi, Meru nchini Kenya hadi
kuangusha show iliyohudhuriwa na makumi kwa maelfu ya mashabiki wenye
kiu, staa huyo ameendelea kujiweka kwenye ligi yake mwenyewe.
Ilikuwa ni show ya mtu mmoja na kwa picha alizoweka kwenye page yake ya
Instagram, inaonesha jamaa alihama na kijiji. Tazama picha hapo chini.
Monday, August 29, 2016
Related Posts
MATUMAINI Mapya Kwa Farid Mussa Safari Ya Hispania, Aanza Maandalizi Tena
08 December 2016jimmy lusekelo0ZARI Athibitisha Yeye na Mama Mkwe Wake Bado Zinaiva
08 December 2016jimmy lusekelo0UKWELI Mchungu: Wimbo wa Darasa 'Muziki' Wafunika wa Diamond 'Salome'
07 December 2016jimmy lusekelo0MZIKI ya Darassa ilivyogeuka Wimbo wa Taifa Ndani ya Wiki Moja
06 December 2016jimmy lusekelo0
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.