Sunday, August 14, 2016

Iliwahi kuvuma kuwa anatoka kimapenzi na msanii Baraka Da Prince, lakini muigizaji asiyeisha vituko Nisha anasema hizo ni fununu tu, ambazo hazina ukweli wowote ndani yake. “Sijawahi kutoka na huyo mtu na haitakuja kutokea, tena siyo yeye tu bali sina mpango wa kutoka na msanii yeyote hapa Bongo,” anasema kwa kujiamini Nisha.

Una neno gani kwake?

0 comments:

Post a Comment