Thursday, August 18, 2016


Hii ndio picha aliyoweka Wema Sepetu Kwenye page yake Kama MCM, ikiwa na maana ya Man Crash Monday...

Mashabiki wake wengi walihoji kwanini Diamond yupo kwenye list na huku mpenzi wake wa sasa Idriss hayupo katika list hiyo kitu ambacho kinazidisha tetesi kuwa wameachana...

Mashabiki wengine wameenda mbele zaidi na kudai Wema Sepetu Ameshindwa kumove on kwani bado anampenda Diamond sana..

Haya ni baadhi ya maoni kutoka kwa mashabiki:


elsie647438
Why do you act lyk a desperate b**ch @wemasepetu there's lyf afta diamond.....move on and stop forcing on zari's man.

josephinaamani
unajua kutuvuruga 🙌🙌🙌🙌🙌

juliethmkai
I think Wema is fooling herself... Btw the whole thing is funny

khassimelizabeth
@queen_platinumz INAWEZAKANA LENGO SIO HUYO DAIMOND ILA YUKO STRESSED KIASI KWAMBA KUNA SIKU ATAMPOST ZARI HUMU, KASHAPOST MAMA DAI,TIFA DIAMOND, BADO ZARI TUU SASA SIKU ANAKUJA KUANGALIA MAISHA YAKE KAFIKA WAPI INAKUA TOO LATE!!

ashurathy22
Anajua kuwatoa w2 povuuu khaaa wamemuona dai tu kwan kamikaze hajulikan jmn 🏃🏃🏃🏃

hotsalmabbyi
Watu mipovu inawatoka loooh @wemasepetu safi sanaaaaa @diamondplatnumz hebu mpost na ww wema mijitu iiumbuke huku mmemuona dai tu hao wengine nivisiki mnapenda watu wagombabe tu looh

simaluasha
Wanaume wamekuwa bidhaa adimu sanaa duniani

0 comments:

Post a Comment