Friday, August 12, 2016

Ni August 11, 2016 ambapo Mchekeshaji wa filamu Kitale amefunguka kuhusiana na mali zilizoachwa na marehemu Sharo Milionea.

Staa huyo aliipa heshima millardayo.com & Ayo TV na kuyaongea haya>>>>Wakati mimi niko nae alipofikia level fulani ilinibidi nimtafutie uongozi ambae HK alihusika kumsimamia ila baadhi ya vitu hususani kama viwanja, bajaji, kodi alipokuwa akiishi pale sinza vile vyote nilijitahidi akakabidhiwa mama mzazi’– Kitale

‘Mama wa Sharo tulimuuliza kwamba kiwanja kilichonunuliwa na Sharo Je kiuzwa alituambia tukiuze atajenga nyumba Tanga pamoja na fedha zilizokuwa zinatoka kwenye makampuni ya ringtone’= Kitale

0 comments:

Post a Comment