Tuesday, August 9, 2016

12:07 AM
Msanii kutoka zao la Bongo Star Search 2015, Kayumba Juma amefunguka kueleza namna milioni 50 alizoshinda kwenye shindano la Bongo Star Search zilivyotumika.

Msanii huyo aliipata heshima millardayo.com na Ayo TV na kuyaongea haya:
’Kiasi nilichokichukua kilikuwa ni milioni 50 ambazo zimetumika katika matumizi yangu ambapo sasa hivi niko kwenye ujenzi wa nyumba yangu mpya iliyopo maeneo ya Mbagala na pia nimenunua usafiri wangu mpya wa kuzunguka hapa na pale kwenda studio na sehemu zingine’- Kayumba

0 comments:

Post a Comment