Sunday, August 7, 2016

11:15 PM
Mkali kunako muziki wa kizazi kipya, Banana Zoro amejigamba kuwa hahofii kuimba bila kutumia vyombo kwani uwezo wake kwenye muziki ni mkubwa haswaa.

Akiongea hivi juzi Banana amesema wasanii wengi wanashindwa kuimba bila kutumia vyombo kwasababu hawajitumi katika kazi hiyo. “Mimi naweza kuimba bila kupiga vyombo au midundo na watu wakaelewa nini ninafanya kwani nipo kwenye muziki muda mrefu na najua ninachokifanya” alimalizia.

0 comments:

Post a Comment