Ni muendelezo wa good news kwa nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania
Taifa Stars anayeichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta
kuwa sehemu ya kikosi cha KRC Genk kilichoisaidia timu kupata matokeo
ugenini dhidi ya wenyeji wao Cork City.
Katika mchezo huo wa pili wa round ya pili KRC Genk wamefanikiwa kuibuka
na ushindi wa goli 2-1 dhidi ya wenyeji wao Cork City ya Ireland,
mchezo huo ambao umechezwa katika uwanja wa Turners Cross nchini
Ireland, umekuwa ni furaha kwa watanzania kuona Samatta anaelekea
kutimiza lengo lake la kucheza hatua ya Makundi ya michuano ya Europa
League.
Thursday, August 4, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment